Iluminaty

Iluminaty Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Iluminaty, .

Freemason ni chama au taasisi inayowaunganisha wanaume na wanawake walio na hamu ya mafanikio na kutamani kuzijua na kuz...
25/07/2023

Freemason ni chama au taasisi inayowaunganisha wanaume na wanawake walio na hamu ya mafanikio na kutamani kuzijua na kuziishi siri za ulimwengu zilizo jichificha. Wanachama wa Freemason ni kutoka mchanganyiko wa dini, makabila na nchi tofauti tofauti kutoka kote ulimwenguni. Kazi kubwa ya freemasoni ni kuwajengea wanachama wake uwezo mkubwa sana wa kifedha, kimamlaka pamoja umaarufu na kuheshimika duniani kote na kuhakikisha inaitawala dunia kiuchumi, kiteknolojia, kiusalama na kifedha.

JE, NAWEZA KUJUA SIRI ZA FREEMASON KABLA SIJAWA MWANACHAMA?
JIBU: Hapana.

Wapo watu wengi wanaotaka kujua siri za freemason wakiwa nje ya chama hiki chenye nguvu duniani pasipokujua kuwa kila jambo linaloendeshwa ndani ya freemason ni siri kubwa na endapo mwanachama yoyote akitoa siri hizo anaweza kukumbwa na adhabu kubwa sana inayoweza hata kuyagharimu maisha yake.

JINSI YA KUJIUNGA NA KUHUDHURIA VIKAO VYA FREEMASON.

Freemason k**a taasisi kubwa duniani huwa ina vikao vyake vinavyofanyikia katika majumba maalumu (temple) yaliyogawanyika na kusambaa katika nchi zote duniaani ikiwemo Tanzania.
lodge hizi za freemason unaweza ukaziona lakini ni vigumu sana kuingia au kuomba kujiunga pasipo kupitia kwa agent|(member) ambaye atakupa utaratibu mzima wa kujiunga ikiwa ni pamoja na kukutambulisha kwa viongozi wa temple husika na kukusaidia kufanya usajili online na baadae baada ya kusajiliwa na kupata usibitisho wa namba ya usajili atakuunganisha na grand lodge wa eneo husika kwa utaratibu wa interview na baadae kuapishwa na kupewa nguvu na uwezo mkubwa wa kufanya maajabu ya dunia katika ulimwengu wa Mafanikio Makubwa.

JE, NATAKIWA KUWA NA VIGEZO GANI ILI NIWEZE KUWA MFUASI NA MWANACHAMA WA FREEMASONI?
JIBU:
-Unatakiwa uwe tayari ni mtu unayeamini katika mafanikio
-Uwe tayari kufuata masharti ya chama k**a utakavyoelekezwa
-Uwe umetimiza umri wa miaka 18 na kuendelea ili uweze kufanya maamuzi sahihi
-Hakuna kigezo cha elimu katika kujiunga na freemason
Masharti utatumiwa kwenye email yako au utaambiwa na Agent atakayekuunganisha na k**a utakubaliana nayo basi utaratibu wa usajili utaendelea. Hkuna Agent anayeruhusiwa kukulazimisha kujiunga endapo utashindwa kukubaliana na mashariti yetu

*TIMIZA TARATIBU ZETU KIKAMILIFU
FUATA UNACHO ELEZWA NA KUHANI
TIMIZA NA UNGANA NASI KWA HIARI
YAKO MWENYEWE.

*KUJIU GA NASI SI JAMBO LA LAZIMA
NI HIARI YAKO MWENYEWE,NA UKIHIARI NI LAZIMA UTIMIZE TARATIBU UNAZO PEWA KIKAMILIFU.

DATA ZA MAWASILIANO.

BARUA PEPE
FREEMASONTANZANIABLUELODGEGmai
l.com
FREEMASONBLUELODGE1234Gmail.com
TUMA UJUMBE WHATSAPP KUPITIA
+255693585688
NOTE:HATUITI MTU KUJIUNGA NA JUMUIYA YETU BALI TUNAPAZA SAUTI KUTOA MWELEKEO SAHIHI KWA WENYE IMANI NA UTAYARI.
SANDUKU LA BARUA
DAR ES SALAAM LODGE
P.O.BOX 483,Dar es salaam,
Consecrated 22nd February,192
By Bro J.E. Brunnen.
Suspended Returned 25Th March,
1991,Fm Hall,DAR ES SALAAM.
TELL(+255)744663098
*THE TRUE FREEMASONRY SOCIETY*
JUMUIYA HALISI YA FREEMASON TANZANIA

๐—™๐—ฅ๐—˜๐—˜๐— ๐—”๐—ฆ๐—ข๐—ก๐—ฆ' ๐—›๐—”๐—Ÿ๐—Ÿ ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—”.๐Ÿ‘‰FREEMASON ni Jumuiya iliyo undwa  na watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili wenye sera za kutawal...
08/06/2023

๐—™๐—ฅ๐—˜๐—˜๐— ๐—”๐—ฆ๐—ข๐—ก๐—ฆ' ๐—›๐—”๐—Ÿ๐—Ÿ ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—”.

๐Ÿ‘‰FREEMASON ni Jumuiya iliyo undwa na watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili wenye sera za kutawala dunia.

๐Ÿ‘‰Pamoja na hilo Freemason sio dini k**a dini zingine na wala sio dhehebu, bali ni taasisi ya kiimani katika utaratibu wa tofauti wa ibada za kale.

๐Ÿ‘‰Nataka nikufahamishe kwamba, Freemason ni jamii ya siri kubwa kuliko jamii nyingine duniani, hivyo mambo yetu yote yanafanyika chini kwa chini na mtu yeyote atakaye kiuka misingi na sheria angali akiwa mwanachama adhabu yake huwa ni kubwa sana.

๐Ÿ‘‰Freemason inaongozwa na binadamu wa kawaida tu,bisipokuwa kiongozi mkuu wetu ni LUCIFER/LIGHT BEARER. Hatuamini k**a kuna kuchomwa moto siku ya kiama, ila tuna karibisha watu wa dini zote kujiunga na chama cha Imani yetu.

4385 โ€“ HAVEN OF PEACE LODGE. Tell 0693585688

Tuandikie Ujumbe wako kupitia mtandao wa Whats'App

WHATS'APP:+255744663098

๐—จ๐—ž๐—ข๐— ๐—•๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—”๐—œ๐—ž๐—ข๐—Ÿ๐—ข๐—๐—œ๐—”๐—ก๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ธ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ผ๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฟ๐—ผ๐—ต๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ...
22/10/2022

๐—จ๐—ž๐—ข๐— ๐—•๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—”๐—œ๐—ž๐—ข๐—Ÿ๐—ข๐—๐—œ๐—”

๐—ก๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ธ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ผ๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฟ๐—ผ๐—ต๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ถ๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚.

๐—จ๐—ธ๐—ถ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ฎ,๐—ธ๐—ถ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ, ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฎ ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ฑ๐—ผ๐—ด๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ, ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ ๐—ฑ๐—ผ๐—ด๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ.

๐—ช๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฝ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ, ๐—บ๐˜๐˜‚ ๐—ต๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜€๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ป๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ, ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ผ ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐˜๐˜‚, ๐—ฑ๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ถ.

๐— ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ท๐—ฎ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜ƒ๐˜‚ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ต๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—บ๐—ถ, ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ ๐—บ๐˜๐˜‚ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—ต๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚.

๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐˜‚๐—น๐—ฒ๐—ฒ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ, ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐˜‚๐—น๐—ฒ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ฆ๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—จ๐—น๐—ถ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜‡๐—ผ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—ต๐—ฎ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐˜€๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ.

๐—ช๐—ฒ๐—น๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—ฒ ๐—™๐—ฟ๐—ฒ๐—ฒ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ผ๐—ป๐˜€ ๐—›๐—ฎ๐—น๐—น ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—•๐—น๐˜‚๐—ฒ ๐—น๐—ผ๐—ฑ๐—ด๐—ฒ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—š๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ ๐—น๐—ผ๐—ฑ๐—ด๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ถ.

๐——๐—”๐—ฅ ๐—˜๐—ฆ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐—  ๐—Ÿ๐—ข๐——๐—š๐—˜

๐——๐—ฎ๐—ฟ ๐—ฒ๐˜€ ๐—ฆ๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—ฎ๐—บ.
๐—–๐—ผ๐—ป๐˜€๐—ฒ๐—ฐ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ฑ 22๐—ป๐—ฑ ๐—™๐—ฒ๐—ฏ๐—ฟ๐˜‚๐—ฎ๐—ฟ๐˜†, 929
๐—ฏ๐˜† ๐—ช. ๐—•๐—ฟ๐—ผ. ๐—.๐—˜. ๐—•๐—ฟ๐˜‚๐—ป๐—ป๐—ฒ๐—ป
๐—ฆ๐˜‚๐˜€๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—ฑ ๐—ผ๐—ป 9๐˜๐—ต ๐—ก๐—ผ๐˜ƒ๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฟ, 198
๐—ช๐—ฎ๐—ฟ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐˜ ๐—ฟ๐—ฒ๐˜๐˜‚๐—ฟ๐—ป๐—ฒ๐—ฑ ๐—ผ๐—ป 25๐˜๐—ต ๐— ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฐ๐—ต, 1
๐—™๐—  ๐—›๐—ฎ๐—น๐—น, ๐——๐—”๐—ฅ-๐—˜๐—ฆ-๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐— 
๐—ง๐—ฒ๐—น: +255744663098

๐˜„๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ ๐—ฏ๐˜†;

๐—™๐—  - ๐—œ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐˜€ ๐—™๐—ฟ๐—ฒ๐—ฒ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ผ๐—ป๐˜€ ๐—›๐—ฎ๐—น๐—น

๐—œ๐—ก๐—ฆ๐—ง - ๐—œ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐˜€ ๐— ๐—ผ๐—ป๐˜๐—ต๐˜€ ๐—ผ๐—ณ ๐—œ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—น๐—น๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป ๐—บ๐—ฒ๐—ฒ๐˜๐—ถ๐—ป๐—ด

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€'๐—”๐—ฝ๐—ฝ ๐—จ๐˜€: +255711630226

SOMA HAPA NI MUHIMU SANA.LEO JUNE/12/2022 JUMAMOSI.MAELEKEZO YA MAREHEMU KIONGOZI   WA JUMUIYA YA FREEMASON AFRIKA      ...
11/06/2022

SOMA HAPA NI MUHIMU SANA.

LEO JUNE/12/2022 JUMAMOSI.

MAELEKEZO YA MAREHEMU KIONGOZI
WA JUMUIYA YA FREEMASON AFRIKA
MASHARIKI KUTOKA KATIKA

KITABU CHAKE CHA "KNIGHT OF AFRICA-A JOURNEY FROM BUKENE"

-SHUJAA WA AFRIKA-SAFARI KUTOKA BUKENE.

(SEHEMU YA KWANZA 01)

Siku zangu za mwanzo katika kikudi cha Rotary nimekwisha
zieleza. Lakini kabla sijajiunga na Rotary nilipata hamu ya
kujiunga na Chama hiki cha kusaidiana cha Freemasonry. Ilitokea
hivyo kwa sababu ya tabia na vitendo safi mno vya marafiki zangu
wawili niliokuwa nao karibu sana wakati huo; Bob Campbell
Ritchie, Mwingereza, na John Maclean Mkochi. Hapo mwanzo
wala sikujua kiwango cha kujishughulisha kwao na Freemason;
kwangu mimi walikuwa marafiki tu waliotokea kuwa Watumishi
wa Serikali: mmoja wao mtumishi katika Makoloni na mwingine
mfanyakazi wa Relwe.
Lakini kila nilipoendelea kuwajua zaidi nikapata kugundua kwamba
jioni ya kila Jumatatu, baada ya saa za kazi, Bob na John
waliondoka pamoja kwenda kwenye mikutano ya ajabu-ajabu katika
jumba lililokuwa karibu na bahari mjini Dar es Salaam. Pole pole,
kwa kiasi wasiwasi wangu ulivyoongezeka, wakaanza kunieleza
kidogo kidogo yale yaliyokuwa yanatendeka huko. Kumbe
walikuwa tayari katika kundi hilo la Freemason, na haraka sana na
mimi nikatamani kuwa mmoja wao pia.
Kwa bahati mbaya wote sisi tulikuwa tunaishi katika Tanganyika ya
Wakoloni katika miaka ya mwanzo ya 1950, wala haikuwako nafasi
kabisa kwa ama Bob ama John kuwa na uwezo wa kunisaidia mimi
kuingia katika jengo hilo la Pwani k**a mwanafunzi; walikuwa
wanatakiwa Wazungu watupu, tena Wazungu wa aina fulani.
Lakini, wakiwa marafiki zangu, bado walitaka kunisaidia; kwa hiyo
wakanitambulisha kwa Sheikh Mustafa na kwa Jivraj Patel, Wana-
Mason wenzangu ambao baadaye walikuwa k**a ndugu zangu.
Mustafa na Patel ndio walionielemisha kuhusu madaraja yote ya
makambi ya Mason yaliyokuwa yanatumika nchini Tanganyika
wakati ule, kwamba madaraja hayo yaliwekwa kubainisha madaraja
kati ya Wazungu wageni waliokuwako, na wengine waliokuwa
chini ya ngazi hiyo, kwa mujibu wa taratibu za Wakoloni za
kujitenga zilizokuwako nchini Tanganyika wakati huo, na kwamba
taratibu hizo zilikuwa na mwelekeo wa ubaguzi uliokuwako
miongoni mwa jamii ya Wazungu wageni, na, chini ya hapo,
mwelekeo wa tabia, na kwa kweli Sera, ya ubaguzi kwa ajili ya
kuendeleza matabaka.
Maana yake hali hii ni kwamba, nafasi ya kwanza kabisa ya makazi
mjini Dar es Salaam ilitengwa kwa ajili ya watu wa daraja la juu
kati ya Jamii ya Watanganyika, Waingreza weupe walio wasomi.
Nafasi ya pili ilitengwa kwa ajili ya Wazungu wafanyabiashara; na
ya tatu ya Wazungu wengine, zaidi Waskochi, ingawa sikupata
kujua kisa cha kuwaweka, katika ngazi hiyo. Na ilikuwako ngazi ya
nne, Kambi ya Nyota ya Jaha; hiyo ilikuwa ya Wahindi k**a akina
Mustafa na Patel, na mimi mwenyewe. Haikuwako Ngazi ya Tano
wakati ule; maana yake ni kwamba Waafrika weusi hawakuwa na
nafasi yoyote ya kuingia.
Aina hii ya ubaguzi haikunishangaza. Lakini lililonish*tua ni shida
niliyoipata kuingia ndani ya ile nyota ya Jaha. Hakuna
aliyenitahadharisha mapema juu ya vizingiti vilivyopaswa kuvukwa
katika kuwapima wanachama wapya, bila kujali uwezo wao wa
fedha au wadhifa wao katika Jamii. Badala ya kupata mwaliko
mapema wa kuungana nao, k**a nilivyotarajia, nikalazimika
kusubiri kwa karibu miaka miwili, wakati kufaa kwangu kuwa
mwanachama wa Mason kulipokuwa kunachunguzwa.

Katika kipindi hicho shughuli zangu za kila siku, kazini na nje ya
kazi, zilikuwa zinachunguzwa kwa makini; kadhalika shughuli na
mawazo ya ndugu zangu na marafiki zangu wa karibu. Ingawa
mimi nilikuwa Kiongozi wa moja ya familia kubwa za
wafanyabiashara wa Kihindi katika Afrika Mashariki, bado
sikutafutiwa njia ya mkato, wala haikuniwia rahisi kuingia. Mpaka
mwishowe tarehe 25 Oktoba 1954, ndipo nilipokaribishwa katika
hiyo Nyota ya Jaha, kwa namba 5299.
Zaidi kidogo ya miaka hamsini baadaye, kundi hilohilo likaamua
kufanya hafla kubwa sana ya kumbukumbu ya miaka yangu hamsini
ya Uanachama. Katika hafla ile, kikundi kikanipa zawadi nyingi
nitakazozienzi daima; na shughuli za usiku ule zikaendeshwa kwa
ratiba nzuri mno, pamoja na fataki na kitabu kilichotayarishwa
rasmi cha kumbukumbu ya yale niliyoyafanya nikiwa ndani ya
Chama cha Mason. Kikosi chetu hicho kikabaki kuwa cha Wahindi
watupu kwa miaka kumi iliyofuata, mpaka hatimaye kilipozinduka
na kutambua kuwa uhuru ulikwisha patikana miaka miwili iliyopita.
Kwa kweli kilipita kipindi kirefu zaidi ya hicho kwa Kikosi hicho
kilichokuwa mjini hapa na Ngazi nne wakati ule wa ukoloni
kujiunda upya katika sura iliyolingana zaidi na Tanzania mpya
isiyokuwa na ubaguzi: aina ya mabadiliko yaliyofanywa miaka
kadha huko nyuma katika Klabu ya Rotary na Vyama vingine vya
hiyari.
Wanachama wachache wa Kambi ya Dar es Salaam, wote wakiwa
wafanyabiashara wa Kizungu, waliotamani kuhamishia Kambi yao
huko London, waliomba Kambi Kuu ya Uingereza kurekebisha Hati
iliyowaruhusu Wanachama hao kukutania Dar es Salaam, lakini
jitihada hizo hazikufanikiwa. Lakini kwa upande mwingine bado
Wana-Mason walikuwa wamesonga mbele zaidi kuliko
Watanganyika wengine wasomi, k**a uzoefu wangu katika
Tanganyika Standard ulivyonisaidia kutambua baadaye.
Nilipoanza kutafuta uanachama wa Freemason nililazimika
kutambua kuwa nilikuwa natumbukia katika mazingira ya kujitenga
duniani ambayo sikuwa nayajua. Maana ingawa mpaka wakati huo
Chama cha Freemason kilikuwa katika sura hiyohiyo kwa karibu miaka mia tatu (kambi hizo mbili ziliunganishwa Uingereza mwaka
1715), hali ya usirisiri wake unaokigubika imeongezeka sana katika
miaka hii michache.
Freemason walikuwako katika sehemu yangu hii ya dunia kwa
muda wa miaka hamsini, Kambi ya kwanza ya Afrika Mashariki
ikiwa imeanzishwa Zanzibar mwaka 1904, lakini ikachukua miaka
mingine ishirini na minne kwa Kambi ya kwanza ambayo, kwa
shamra nyingi, Gavana ndiye aliyeiwekea Jiwe la Msingi ili ijengwe
huko Bara katika Mtaa ulioitwa wakati ule Main Avenue, sasa hivi
Sokoine.
Tangu miaka hiyo ya 1920 idadi ya Vikundi vya Mason nchini
Tanzania, na Afrika Mashariki kwa jumla, imeendelea kuongezeka.
Ongezeko k**a lilo hilo limejidhihirisha katika Asia, Marekani ya
Kusini, na baadaye Ulaya ya Mashariki baada ya kipindi kile cha
kuingia kwa Ukomunisti. Lakini kwingine kote, hasa Ulaya ya
Magharibi, Amerika ya Kusini na Australia, idadi ya Wanachama
wa Mason wamekuwa wakipungua pole pole na kuacha pengo
kubwa duniani kutoka milioni saba waliokuwako wakati wa Vita
Kuu ya Kwanza kufikia milioni tano tu.
Hata hivyo, mchango wanaodai ndugu hao milioni tano, kwa
Chama chao na kwa Jamii, ni mkubwa sana. Wanatoa misaada kila
mwaka, kulingana na kazi zinazotekelezwa na Vikundi vyao, kiasi
cha dola milioni mia nne za Marekani. Huku Tanganyika, baadaye
Tanzania, walisaidia Kituo cha Wakoma cha Kinditwi Wilayani
Utete; Kituo cha Watoto cha Mama Theresa; Shule ya Vipofu ya
Pongwe, Mkoani Tanga; Kituo cha Yatima cha Arusha, Hospitali ya
Mnazi Mmoja kule Zanzibar; na Shule ya Viziwi ya Buguruni, ni
machache tu kati ya Miradi mingi iliyogharimiwa na Vikundi vya
Mason. Kati ya Miradi hiyo yote, ule wa Shule ya Buguruni ndio
ninaouthamini sana moyoni mwangu; maana mimi ndiye
Mwanzilishi na mchangishaji mkuu wa fedha; mhamasishaji na
mtetezi mbele ya Viongozi Wakuu kwa niaba ya shule hiyo kwa
muda wa miaka thelathini iliyopita.
Lakini bado, pamoja na shughuli zote hizo za maana, kwa muda
wote huo niliokuwa Mwanachama wa Freemason, mara nyingi wale Wanachama wa zamani wamenyanyaswa sana na magazeti ya nchi
za Magharibi. Kutoka kuonekana kuwa Chama ambacho huruma
na dhamiri zake katika kumwinua binadamu zinathaminiwa, k**a
ilivyokuwa katika kipindi kirefu cha karne za kumi na nane na kumi
na tisa na mwanzo wa karne ya ishirini, sasa kimeporomoshwa
hadhi kwa mashambulizi makali ya magazeti yasiyokuwa na
msaada, kiasi cha kuigeuza Freemason kuwa k**a kivuli tu,
Kikundi cha wafitini wa ajabu-ajabu waliojaa hila!
Freemason wenyewe walishiriki katika kujiangusha katika kipindi
kile cha baada ya Vita. Mateso waliyokuwa wanafanyiwa
Freemason makusudi wakati wa Vita katika nchi za Ulaya: kutoka
Ufaransa ya Vichy kupitia Ujerumani ya N**i na Italia ya Ufashisti,
na kuendelea mpaka Urusi ya Kikomunisti na Vibaraka wake, ndio
waliokuwa wahusika wakuu wa Maamuzi ya kushinikiza
Freemason watoweke machoni mwa Umma. Uamuzi huo mgumu
wa kuifanya Amri hiyo kuwa ya siri zaidi, maana ndiyo njia pekee
ya kuwasalimisha Wanachama wao wengi waliokuwa hatarini zaidi,
ukawaacha Freemason kwa jumla katika hatari ya kushambuliwa na
wale waliokuwa wanataka kuikashifu, na hata kuihujumu kwa
mabaya zaidi.
Mfululizo wa simulizi chafu, nyingi ya hizo zilitoka kwa maadui
wetu wa vita wa wakati ule, zikaenea katika sehemu nyingi maarufu
miongoni mwa watu wa Nchi za Magharibi. Sababu moja ni Amri
iliyokuwa imetolewa kuwakataza wote walioalikwa kutoa hadharani
matamshi ya kusahihisha mengi ya madai hayo, yaliyokuwa
yanashinikizwa na Kundi la N**i, yalikuwa ama ni upuuzi mtupu,
eti kwamba Freemason ilikuwa, kwa njia moja ama nyingine,
sehemu ya njama za Uyahudi kutaka kuitawala dunia, au sababu ya
kidunia zaidi, na hivyo yenye madhara zaidi, eti kwamba
Freemason ni hatua ya mwanzo ya kudhibiti ajira kwa ajili ya
Wanachama wa Freemason peke yao!
Hakuna hata moja katika shutuma hizi mbili, wala hizo nyingine
zilizotumbukia katikati, zilizokaribia ukweli wowote; lakini Amri
hiyo, kwa jinsi ilivyonyamaziwa kimya katika muda wote toka
mwisho wa 1940 mpaka miaka yote ya 1950, ikaachia shutuma hizo
mbaya ziimarike mpaka kuonekana kuwa karibu na kweli. Matokeo mabaya yanayojitokeza kuhusu picha hii illiyokuwa
inapindwapindwa yalijidhihirisha sana katika nchi za Ulaya na
Marekani ya Kaskazini; kadhalika na huku Afrika, Asia na
Marekani ya Kusini.
Chama cha Freemason hakijapata misukosuko ya kutoeleweka kwa
kiwango kile kile k**a ilivyotokea kwingineko katika nchi
zilizoendelea, pamoja na jitihada za Mapadre kadha wa Kikatoliki
kuwashawishi Wakatoliki wao wasihudhurie Mikutano ya
Freemason. Kwa kweli, nilipoanza kushika madaraka makubwa
zaidi ndani ya Chama hicho, kwanza katika Ngazi ya Wilaya, na
kisha Ngazi ya Kimataifa, ndipo nilipoelewa kwa ukamilifu ukubwa
wa tofauti zilizokuwapo kati ya yale ambayo Freemason walikuwa
wanayaamini na kuyatenda, na jinsi maneno na matendo yao
yalivyokuwa yanadhihirika mbele ya watu walio nje ya nchi za
Magharibi.
Ili kuanza kuelewa vizuri zaidi chama hiki, na hivyo pengine
kuanza kuoanisha dhana na hali halisi, lazima mtu arudi kwenye
misingi ya Freemason. Itikadi yenyewe ya Wema na Maadili ndiyo
iliyonitumbukiza katika mazungumzo yangu ya kwanza na akina
Campbell Ritchie na Maclean, juu ya huruma kwa binaamu
mwanzoni mwa miaka ya 1950. Wakati ule ndipo nilipoanza
kutambua kuwa, kumbe, maana kamili ya Uanachama wa
Freemason ni Sayansi ya maisha ambayo lengo lake ni kumtia
moyo mwanadamu kwa kumwelekeza vile anavyotarajiwa kuwa:
mtu mwenye ukamilifu katika vyote.
Sehemu kubwa ya Hoja hiyo ya ukamilifu wa mtu inafichwa katika
dhana, na pengine ndiyo maelezo ya uvumi unaoelekezwa kwenye
shughuli za Freemason. Lakini Taratibu hizo zimejengwa kwa
malengo ya makusudi, ambayo mimi nayaona kuwa mazuri tu, ya
kuamua na kuboresha fikira, moyo na hadhi ya Binadamu. Kwa
hiyo, katika hatua ya kwanza ya kuingizwa kwenye Freemason,
Misingi mikuu ya Maadili na kusema kweli inayojenga Freemason
inasisitizwa kiasi cha kutosha katika mawazo ya mtu anayetaka
kujiunga na Chama au mtahiniwa.

Hatua ya pili ya Freemason inasisitiza kuendelezwa kwa vipaji na
ufundi katika sanaa na sayansi ili mtu aweze kuwa na manufaa
makubwa kadiri inavyowezekana katika maisha. Hatua ya tatu
inatoa nafasi kwa mtu kufikiria saa chache za mwisho wa maisha
yake, lau k**a hili litaonekana kuwa k**a ndoto. Kwa njia hizo,
huyo anayetaka kujiunga na Freemason anaelekezwa namna ya
kuishi kwa kutumia nafasi zote kabisa zilizopo, katika namna
inayooana na misingi mitatu ya Freemason, ambayo ni: Upendo wa
Kindugu, Misaada na Ukweli, na kwamba Kifo ni Lazima.
Misingi hii mitatu ikiisha kufafanuliwa katika maelekezo ya
Wakufunzi yanayositiri mengi kati ya matunda ya Freemason, ndiyo
iliyonivutia zaidi nilipopata kujua kwa undani, kwa mara ya
kwanza, baadhi ya mambo katika Kikosi cha Antient. Katika
Taratibu za Freemason, Msingi wa Upendo wa Kindugu
unawaelekeza ndugu zetu wote kuwatambua binadamu wote kuwa
familia moja iliyoumbwa na huyo Mwenyezi, lakini wakati huo
โ€œmsaadaโ€ unatoa ujumbe kuelekeza Imani niliyofunzwa na Baba
yangu, yaani kuwasaidia wenye shida: iwe katika kuwapunguzia
umasikini, au kuwaliwaza wanaosumbuliwa na matatizo. Huo ni
wajibu wetu sisi wote.
โ€œUkweli,โ€ msingi wa tatu na, pengine, ndio muhimu kuliko yote, ni
dhana takatifu ambayo, kwa mwanachama wa Freemason, ndio
msingi wa kila jema la binadamu. โ€œKuwa mtu mwema na mkweliโ€
ni somo linalotolewa mapema kwa kila mtu anayetaka kuingia
katika Freemason; hivyo ni Kauli inayotumiwa kila mahali k**a
zana ya kurekebisha na, k**a lazima, kuelekeza njia ya maisha na
vitendo vya mtu kulingana na Masharti yale manne muhimu ya
Freemason: Kiasi, Uvumilivu, Busara na Haki.
Na misingi yote hii ya Maadili ina umuhimu unaojumlisha siyo tu
mafunzo ya falsafa za watu wa kale, kuanzia Wagiriki mpaka
Budha mpaka Zaroaster, lakini hata za Dini zinazojulikana.
Kinyume na propaganda zinazoenezwa za Mafashisti wa Kiitaliano,
na wengine wengi zaidi ya hao, Freemason si chombo cha Dini,
wala vile vile, kinyume chake, hakipingi Dini; kwa kweli
Freemason wanawakaribisha watu wote bila kujali Imani zao za
Dini, wala hawafanyi mbinu za kubadili Imani zao wala kuelekeza
Ibada zao; wanachojaribu tu ni kuwafanya binadamu bora zaidi.
Hivyo hiyo ndiyo dunia niliyoijua mwaka 1954, na ikawa sehemu
muhimu ya maisha yangu kuanzia hapo. Katika kipindi hicho
nimepata bahati ya kushuhudia kujitolea kwa Wanachama wa
Freemason katika kuwasaidia wenye shida ndani ya Afrika
Mashariki na hata nje ya hapo. Nimepata kutambua umuhimu wa
mafunzo ya Freemason katika kujenga hisia za utu-wema na ukweli
kwake mtu mwenyewe na kwa binadamu wenzake. Moyo wangu,
mawazo yangu na roho yangu, vyote vimeimarika kutokana na
kushiriki kwangu katika Freemason; na kuimarika huko
kunatofautiana kabisa na hisia zinazotangazwa katika magazeti
mashuhuri ya nchi za Magharibi. Kuwasaidia wenzetu kuwasaidia
wengine ndiyo misingi niliyojifunza katika miaka yangu mingi
ndani ya Freemason.

KUFUATILIA KWA UKARIBU
SEHEMU YA PILI, LIKE,SHARE PAGE ZETU ILI KUPATA TAARIFA MAPEMA
YA MACHAPISHO MAPYA KUHUSU
JUMUIYA YETU.

Inst-9.
Tel(+255) 711 630 226

โˆšILI KUJIUNGA NA FREEMASONS
HAPA TANZANIA NA AFRIKA MASHARIKI TAFADHARI ACHA UJUMBE
WAKO KATIKA NAMBARI YA

Whats'App:+255744663098
(Utajibiwa na Kuhani Mkuu Baada Ya Muda Mfupi Tu.)

Au Bofya link hii ๐Ÿ‘‰ moja kwa moja
Let's chat on WhatsApp! https://wa.me/message/KEOO72E6KM7HL1

25/04/2022
15/03/2022
10/03/2022
ELIMU YA FREEMASAON NA KUEPUKA UTAPELI(EFKU).  +255744663098     LEO HII TUNAPENDA KUZUNGUMZIA SWALA LA WANACHAMA KUPIGA...
17/01/2022

ELIMU YA FREEMASAON NA KUEPUKA UTAPELI(EFKU). +255744663098
LEO HII TUNAPENDA KUZUNGUMZIA SWALA LA WANACHAMA KUPIGA SIMU NA KUPEWA ELIMU
Wengi upiga simu na upewa elimu kuusu kujua kujiunga na Freemason na pia huuliza maswali mbali mbali kuusu kufanikiwa kwake na kujua njia sahihi...
Wengi utaka kujua njia ambayo ni sahihi itakayo MPA mwongozo wa kujiunga na Freemason na ushindwa kupata iyo njia hapa utaelezwa njia ambayo itakupa mwongozo sahii na ambayo itakupa usalama na kukupa matumaini kuwa upo sehemu usika..
Wengi wao wanazani kuwa kufika ofisini ndio suluisho hapana kwa maana kuna ofisi zimetengenezwa mikoani na bado hazijafunguliwa lasmi kwa matumizi kwa maana tunategemea kupata idadi ya wanachama ambao watazitumia izo ofisi na mategemeo ni kupata wanachama 107 mpaka sasa wamepatikana 84 na bado 23 kufikia idadi kamili ivyo basi yatupasa kuendeleza usajili kwa mwaka mwingine..
Ivyo basi yapaswa kuchukua taazali kwa maana unaweza ukaitwa ofisin na ukakutana naatapeli kwa maana wapo matapeli ambao wameleta mazoea mpaka kutuingilia katiaka ofisi zetu na tumepata taarifa kwa baaz ya watu kuwa kunaofisi zinatumika kwa kuqalagai kwaiyo chukua taazari kwa Ilo
Pia tumejaribu kuwashikilia baazi ya watu ambao wamefanya kutuingilia katika maekalu yetu na kuyatumia vibaya..ivyo basi kwa kushilikiana na wananchi kwa kutupa saport na kuweza KUZIBITI ili swala
Pia tunapenda kutoa taarifa kwa yeyote aliefanyiwa huu unyang'anyi tunaomba lipoti namba ya uyo muhusika sehemu yeyote ya usalama ambayo itaweza kufuaitilia mienendo yake ama k**a utakuwa na wasi wasi basi Fanya ivi..kuna SMS tulijaribu kuzituma ambazo zinakodi namba na unaweza kutumia izo kodi namba kutuma namba za muhusika na zitatufikia na kuzikusanyia data na kufwaitilia mienendo yake
Pia tunapenda kutoa taarifa kwa wale wanaopenda kukomenti namba ovyo kwa maana utasababisha kila MTU kukupigia simu na kukulagai awezavyo kwaiyo tujitaidi kuepuka ilo kwa maana ukifanya ivyo utaendeleza UTAPELI na k**a utakuwa na shida PIGA simu au tuma SMS na utapigiwa simu kwa hajili ya elimu zaidi
NB:msitamanishwe na picha mnazowekewa kwa maana mtandaoni hakuna wakala wala kwenye mabango wala vipepelushi Bali Freemason haipo mtandaoni pia kuwen makin kwa hili k**a tukiitaji wanachama uwa tunatoa taarifa kwa zamana maarumu (USA,USAID,PST) ambao ni wa kidunia na utawekewa usalama
ONYO:kwa wale watumiao mitandao vibaya basi waweza kuacha ni hatar..

TANGAZO TANGAZO TANGAZO.0744663098 whatsapp  +25571130226Tungependa utusikilize, utunukuu na pia utuelewe kile tunacho k...
27/12/2021

TANGAZO TANGAZO TANGAZO.
0744663098 whatsapp +25571130226

Tungependa utusikilize, utunukuu na pia utuelewe kile tunacho kuelekeza.

FREEMASONS.
Watu wengi wanaamini kuwa freemasons Ni wanafanya mauaji ya binadamu, Hapana ngoja tuliweke wazi swala hili, sisi huwa tunafuata mapendekezo ya mwanachama anachagua Nini katika swala la KAFARA?.
Na pia sio hapo tu maana tumepokea malamiko mengi kutoka kwa watu wengi sana kuwa hawatimiziwi ahadi zao wanaishia kutapeliwa na watu wasio iogopa freemasons na kuiheshimu wewe unaefanya hivyo huu ndoo muda wa wanachama waliopoteza Mali nyingi na hamuwatimizii malengo yao.

KAFARA.
Kafara Ni Hali ya kujitolea kwa moyo wako mkunjufu bila kunung'unika kwa ajiri ya kujipatia kipato kwa njia ya kishetani.
Kuna aina kuu tatu za kafara nazo Ni
1 Kafara ya ndani ya familia.
2 kafara ya nje ya familia.
3 Kafara ya mnyama.
Zote hizi huwa Ni chaguo la mwanachama.

KUAPISHWA
hii haina kiwango maalumu Cha pesa pindi unaapishwa.
Kuapishwa Ni ile Hali ya kupewa kila kitu kinachostahiri katika chama Cha Freemasons ikiwemo kupewa kiasi Cha pesa kulingana na nyota yako ikoje na ndoo maana tumesema haina kiwango maalumu Cha pesa.
Power pia utapewa na mengine mengi kutoka ndani ya temple.

ONYO;
ADHABU KALI KWA WALE WOTE WANAOTOA MATANGAZO YA UONGO KWA KUTUMIA JINA LETU

27/12/2021

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Iluminaty posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

#}